sw_tn/1th/02/07.md

856 B

kama mama awezavyo kuwafariji watoto wake mwenyewe.

Kama vile mama mpole anavyowafariji watoto wake, hivyo Paulo, Silvanusi na Timotheo alizungumza kwa upole kwa Wathesalonike

tulikuwa na shauku na wewe

"sisi tulikupenda wewe"

Wewe umekuja kuwa mpenzi mwema kwetu

sisi tunamjali kwa ajili yenu kiundani

Ndugu

Hapa hii ina maana Wakristo wenzake, ikiwa ni pamoja na wanaume na wanawake, kwa sababu wote waaminio katika Kristo ni wanachama wa familia moja ya kiroho na Mungu kama Baba yao wa mbinguni.

Kazi yetu na taabu

Maneno "kazi" na "tabu" kimsingi inamaana moja. Paulo ametumia hayo kusisitiza jinsi gani walifanya kazi ngumu "jinsi walifanya kazi ngumu"

Sisi tulifanya usiku na mchana ili tusiweze kuwa mzigo kwa yeyote kati yenu

"Sisi tulifanya kazi ngumu kufnya maisha yetu wenyewe hivyo haukuwa na haja ya kutusaidia sisi