forked from WA-Catalog/sw_tn
540 B
540 B
Mbarikiwe na BWANA
Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu. AT "Natumaini kwamba Bwana atakubariki"
mmenihurumia mimi
"umeniambia hii"
Jifunze na ujue
Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kimoja na inaweza kutafsiriwa kama neno moja. AT "Fahamu kwa uhakika"
nani ambae amemuona
"nani aliyemuona"
Nimeambiwa
Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "Watu wameniambia" au "Nimesikia"
miongoni mwa elfu zote za Yuda
Huu ndio ukweli. AT "hata ikiwa ninahitaji kumkamata kila mtu katika Yuda" au "kati ya jamaa zote za Yuda"