sw_tn/1sa/23/21.md

540 B

Mbarikiwe na BWANA

Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu. AT "Natumaini kwamba Bwana atakubariki"

mmenihurumia mimi

"umeniambia hii"

Jifunze na ujue

Maneno haya mawili yanamaanisha kitu kimoja na inaweza kutafsiriwa kama neno moja. AT "Fahamu kwa uhakika"

nani ambae amemuona

"nani aliyemuona"

Nimeambiwa

Hii inaweza kutafsiriwa kwa fomu ya kazi. AT "Watu wameniambia" au "Nimesikia"

miongoni mwa elfu zote za Yuda

Huu ndio ukweli. AT "hata ikiwa ninahitaji kumkamata kila mtu katika Yuda" au "kati ya jamaa zote za Yuda"