sw_tn/1sa/20/41.md

590 B

kilima

Inaonekana kwamba Daudi alikuwa akificha nyuma ya rundo la ardhi au mawe (tazama UDB).

akiwa amelala kifudifudi, akainama mara tatu

Daudi akainama mbele ya Yonathani, ambaye alikuwa bado mwana wa Mfalme, anastahili heshima hiyo. Pia, hii ndiyo mara ya mwisho Daudi alikutana na Yonathani.

Bwana awe awe kati yako na mimi

Maana iwezekanavyo ni 1) "Yahweh ni shahidi kati ya yako na mimi" au "Yahweh ataangalia jinsi tunavyogusa' au 2) "Na Bwana awe shahidi kati yako na mimi" au "Je! Bwana angalia jinsi tunavyohusika kila mmoja nyingine. Tafsiri kama ilivyo katika 20:22.