Samweli aliambiwa
"mtu alimwambia Samweli"
amejijengea ukumbusho kwa ajili yake
Sauli alikuwa na kiburi
chini hadi Gilgali
Gilgali ilikuwa chini zaidi ya Karimeli.
nimetekeleza amri ya Bwana
Haipo wazi ikiwa Sauli anaelewa kuwa hakutii amri ya Mungu ya kuwaangamiza kabisa Waamaleki.