sw_tn/1sa/06/01.md

233 B

Makuhani na waganga

Hawa walikuwa ni makuhani na waganga wa kipagani walimwabudu Dagoni.

wambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha

Wafilisti walitaka kujua namna watakavyolirudisha sanduku la Bwana bila kumkasirisha zaidi.