sw_tn/1sa/03/19.md

269 B

hakuacha kutimiza maneno yake ya unabii

"alifanya mambo yote aliyoyafanyia unabii kutimia"

Israeli yote

Watu wote wa Israeli.

tokea Dani hadi Beersheba

"sehemu zote za nchi" au "toka mwisho wa nchi hadi upande mwingine"

Samweli aliteuliwa

Bwana alimteua