sw_tn/1pe/02/07.md

574 B

jiwe lililokataliwa na wajenzi

Petro anasema nini nabii aliandika katika Maandiko zamani. "Jiwe" ni jiwe la msingi ambalo ni jiwe muhimu zaidi katika jengo hilo. Hii inahusu Yesu ambaye watu wengi walimkataa. AT "jiwe ambalo wajenzi walikataa."

jiwe la kikwazo na jiwe la kuwakumbusha

Petro anaeleza tena kile nabii aliandika zamani sana. Maneno haya mawili yanashiriki maana sawa. Pamoja wao wanasisitiza kwamba watu watachukuliwa na "jiwe" ambalo linamaanisha Yesu.

kutokutii neno

"kutokutii amri za Mungu

ambayo pia walichaguliwa

"ambao Mungu aliwachagua"