# Akatembea katika njia za Asa
"Alifanya vituvilevile ambavyo Asa, baba yake alifanya"
# akafanya yaliyo mema mbele ya macho ya BWANA
BWANA aliyoyaona kuwa ni mema
# Lakini mahali pa juu palikuwa hapajabomolewa
Bado alikwa hajapabomowa mahali pa juu