sw_tn/1ki/21/11.md

489 B

watu tajiri waishio

watu tajiri wanaoishhi"

kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile barua ambazo alikuwa amewatumia

Virai hivi viwili vinamaanisha jambo moja. Vimetumika kuonesha msisitizo

kama ilivyoandikwa kwenye zile barua

"kama alivyoandika kwenye hizo barua"

juu mbele ya watu

katiak eneo la heshima miongoni mwa watu

wakamchukua nje

Neno "wa" linamaanisha watu wa mji

Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa

"Tumempiga mawe Nabothi na amekufa"