forked from WA-Catalog/sw_tn
489 B
489 B
watu tajiri waishio
watu tajiri wanaoishhi"
kama Yezebeli alivyowaeleza, kama ilivyoandikwa kwenye zile barua ambazo alikuwa amewatumia
Virai hivi viwili vinamaanisha jambo moja. Vimetumika kuonesha msisitizo
kama ilivyoandikwa kwenye zile barua
"kama alivyoandika kwenye hizo barua"
juu mbele ya watu
katiak eneo la heshima miongoni mwa watu
wakamchukua nje
Neno "wa" linamaanisha watu wa mji
Nabothi ameshapigwa mawe na amekufa
"Tumempiga mawe Nabothi na amekufa"