sw_tn/1ki/20/39.md

374 B

Mtumishi wako alienda

Nabii anajisemea yeye katika nafsiya tatu kama ishara ya kumheshimu mfalme

katikati ya pigano

"mahali pale ambapo pigano lilikuwa kali sana"

maishsa yako yatatolewa kwa ajili ya maisha yake

"basi utakufa kwa niaba yake"

talanta moja ya fedha

"kilo 34 za fedha"

akienda huku na kule

"akifanya mambo mengine" au "akifanya hili na lile