sw_tn/1ki/20/33.md

256 B

Sasa wale watu

Neno "sasa" halimaanishi "wakati huu," Bali limetumika ili kupata usikivu kwa ajili ya mambo yanayofufata.

ishara yeyote kutoka kwa Ahabu

"Kwa kuwa tendo lolote toka kwa Ahabu ambalo litawaonesha kuwa Ahabu anataka kuwa mwenye neema"