sw_tn/1ki/20/26.md

325 B

Afeki

Hili ni jina la mji

kupigana na Israeli

"kupigana na jeshi la israeli"

watu wa Israeli walikuwa wamehesabiwa

Jeshi la Waisraeli lilikusanywa pamoja na walipewa vitu ambavyo walihitaji kwa ajili ya vita

kama makundi mawili madogo ya mbuzi

Jeshi l a Waisraeli linaonekana dogo nadhaifu kama mbuzi mchanga.