forked from WA-Catalog/sw_tn
556 B
556 B
Ikawa
Neno hili hutumika kuonyesha tukio la muhimu katika historia. Waweza kutumia neno jingine linalofaa katika lugha yako
Jioni
Tazama 18:27
BWANA, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo
Hapa "Israeli" inamaanisha Yakobo. Mungu alilibadilisha jina la Yakobo likiwa Israeli (Mwanzo 32:28). Pia Mungu aliwaita wana wa uzao wa Yakobo "Israeli."
na ijulikane leo kuwa
"kuwafanya hawa watu wajue leo"
Nisikie ... nisikie
Neno hili limerudiwa kwa ajiloi ya kutia msisitizo
umerudisha mioyo yao kwako tena
"umewafanya wakuabudu tena"