sw_tn/1ki/18/36.md

556 B

Ikawa

Neno hili hutumika kuonyesha tukio la muhimu katika historia. Waweza kutumia neno jingine linalofaa katika lugha yako

Jioni

Tazama 18:27

BWANA, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo

Hapa "Israeli" inamaanisha Yakobo. Mungu alilibadilisha jina la Yakobo likiwa Israeli (Mwanzo 32:28). Pia Mungu aliwaita wana wa uzao wa Yakobo "Israeli."

na ijulikane leo kuwa

"kuwafanya hawa watu wajue leo"

Nisikie ... nisikie

Neno hili limerudiwa kwa ajiloi ya kutia msisitizo

umerudisha mioyo yao kwako tena

"umewafanya wakuabudu tena"