sw_tn/1ki/18/14.md

266 B

Nenda umwambie bwana wako kwamba Eliya yuko hapa

Tazama 18:9

bwana wako

Neno "bwana" hapa linamaanisha Ahabu

kama vile BWANA wa majeshi aishivyo

Hiki ni kiapo kinachomaanisha kuwa anachokisema ni cha kweli

ambaye mimi ninasimama

"ambaye ninamtumikia"