sw_tn/1ki/18/12.md

288 B

Je, haujaambiwa ... kwa mikate na maji

"Kwa hakika umeshambiwa juu y a kile nilichokifanya ... kwa mikate na maji,"

bwana wangu

neno "bwana" ni neno la heshima inayotolewa kwa Eliya

manabii miamoja wa BWANA katika makundi ya hamsini

"manabii 100 wa BWANA katika makundi ya 50"