sw_tn/1ki/16/18.md

256 B

yale yalIyokuwa maovu machoni pa BWANA

"yale ambayo BWANA alyaona kuwa maovu"

alitembea katika njia ya Yeroboamu

"alifanya mambo yaleyale ambayo Yeroboamu alifanya"

je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?

Tazama 15:31