sw_tn/1ki/14/04.md

207 B

Tazama, mke wa Yeroboamu

Neno "Tazama" linamaanisha "sikiliza kwa uangalifu"

Mwambie hivi na hivi

Neno "hivi" na "hivi" linamaanisha kuwa BWANA alikuwa amemwambia Ahiya kitu cha kusema. "mwabia hivi"