sw_tn/1ki/13/26.md

383 B

neno la Mungu, neno la BWANA, neno la Bwana, maandiko

Katika biblia, "neno la Mungu" linamaanisha kitu chochite ambacho Mungu amesema kwa watu. Hii inajumuisha kilichoandikwa na kilichosemwa. Yesu pia anaitwa "neno la Mungu"

mwana, mwana wa

Neno "mwana" linamlenga mtoto wa kiume au mwanamume katiak uhusiano na mzazi wake. Inaweza pia kumaanisha mtoto wa kiume aliyeasiliwa.