sw_tn/1ki/12/31.md

507 B

Yeroboamu akajenga nyumba mahali pa juu

"Wafanyakazi wa Yeroboamu walijenga nyumba mahali pa juu"

kufanya makuhani

"aliwachagua watu kuwa makuhani"

watu wote

"watu wote wa makabila kumi ya kaskazini"

katika mweziwa , wa siku ya kumi na tano ya mwezi

Huu ni mwezi wa nane wa kalenda ya Wahebrania. Siku ya kumi na tano ni kaaribu na mwanzo wa mwezi wa Novemba wa kalenda ya kimagharibi. "siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane"

akaenda juu kwenye madhabahu

"akatoa sadaka kwenye madhabahu"