sw_tn/1ki/09/12.md

233 B

Ndugu yangu, ni miji gani hii uliyonipa?

"Hii miji uliyonipa ni mizuri lakini haina faida yeyote."

akaiita nchi ya Kabuli mpaka leo

"Na watu bado huiita hivyo mpaka leo"

tani alfu nne za dhahabu

"kiasi cha kilogramu 4000"