sw_tn/1ki/06/16.md

16 lines
207 B
Markdown

# Dhiraa
Dhiraa moja ni kama sentimita 46
# ukumbi mkuu
"chumba kikuu"
# vibuyu
ni aina ya mboga za majani zenye umbo la duara ambazo hupandwa kwenye mizabibu
# maua yaliyochanua
"maua yaliyofunguka"