sw_tn/1ki/06/07.md

270 B

nyumba

Neno "nyumba" limetumika kumaanisha nyumba ya Mungu, hekalu

mawe yaliyokuwa yamechongwa chimboni

Chimo ni sehemu ambayo mawe makubwayalikuwa yakichimbwa huko mlimani na kuchongwa kwa vifaa ili kuyalainisha. Mawe yaliandaliwa chimboni na kuletwa hekaluni.