sw_tn/1ki/05/07.md

242 B

Taarifa kwa ujumla

mfalme Hiramu anamjibu Sulemani

maneno ya Sulemani

"Kile ambacho Sulemani alisema"

BWANA na abarikiwe leo

"Ninamsifu BWANA leo"

Mierezi

Mierezi ni aina fulani ya miti ambayo itatumika katika ujenzi wa hekalu