sw_tn/1ki/04/24.md

582 B

Tifsa

Hili ni eneoambalo leoliko Kaskazini mashariki mwa Ashuru

Yuda na Israeli

Majinaya Yuda na Israeli hutumika kumaanisha watu wa Israeli na wa Yuda.

kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake

"kilafamilia ilikuwa na bustani yake ya mizabibu na mitini," ahaii inamaanisha kuwa watu waliishi kwa amani kwa sababu hawakuishi wakati wa vita na hivyo walikuwa na muda kwa ajili ya kufanya shughuli za bustanini.

Kutoka Dani mpaka Bereerisheba

Hii inamaanisha nchi yote ya Israeli kwa maana ya kutokaDani ambako ni kaskazinihadi Beerisheba ambako ni kusini.