sw_tn/1jn/05/06.md

670 B

Sentensi Unganishi

Yohana anafundisha kuhusu Yesu Kristo na aliyosema Mungu kuhusu yeye.

Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu- Yesu Kristo

"Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji na damu. hapa "maji" ni taashira au mfano labda huenda kwa ajili ya ubatizo wa Yesu, na "damu" husimama kwa niaba ya kifo cha Yesu msalabani. : "Mungu alionyesha kwamba Yesu Kristo ni Mwanawe kwenye ubatizo wa Yesu na kifo chake masalabani"

Hakuja tu kwa maji bali kwa maji na damu

Maji humaanisha ubatizo wa Yesu na damu humaanisha kifo cha Yesu msalabani. : "Mungu hakutuonyesha sisi kuwa Yesu alikuwa Mwanawe kupitia ubatizo wake tu, bali pia kwa njia ya kifo chake msalabani"