sw_tn/1jn/04/11.md

921 B

Wapendwa

"Enyi watu niwapendao," au "rafiki wapendwa." Tazama 2:7

ikiwa Mungu alitupenda sisi

"kwa kuwa Mungu alitupenda sisi katika njia hii"

kupendana sisi kwa sisi

Waaminio wanapaswa kuwapenda waamini wengine.

Mungu anakaa ndani yetu... tunakaa ndani yake

"Mungu anao uhusiano nasi... tunao uhusianao na Mungu naye ana uhusiano nasi." Tazama lilivyotafsiriwa 2:4

kwa sababu ametupa

"kwa sababu alitupatia Roho wake" au "amekwisha mweheka roho wake nadani yetu," hata hivyo, kirai hiki hakiashirii Mungu ana kiasi kidogo cha Roho Wake alichobaki nacho baada ya kuwa ametupatia sisi sehemu yake.

Na tumeona na kushuhudia kuwa Baba amemtuma Mwana kuwa mwokozi wa ulimwengu.Roho wake.

"Nasi mitume tumewona MWana wa Mungu na tunamwambia kila mtu kwamba Mungu, Baba, amemtuma MWana ili kuokoa watu hapa duniani"

Baba...Mwana

Hivi ni vyeo muhimi ambavyo huelezea uhusiano kaika ya Mungu na Yesu.