sw_tn/1jn/03/19.md

1.0 KiB

Sentensi Unganishi

Hapa huenda Yohana anamaanisha kwamba uwezo wa waminiowa kumpenda Mungu na kupenda wao kwa wao kwa thati (tazama mstari wa 18) ni in ishara kwamba maisha yao mapya hasa asili yake ni ukweli kuhusu Kristo.

Sisi tunatokana na kweli.

"sisi ni wa hiyo kweli" au :"tunaishi kufuatana na jinsi Yesu alivyotufundisha."

mioyo yetu inathibitika

neno "moyo" humaanisha hisia. "hatutahisi hatia."

Ikiwa mioyo yetu yatuhukumu

Hii ni methali au fumbo. : "kama tuajua kwamba tumefanya dhambi na matokeo yake tunasikia hatia"

Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu.

"Mungu hujua zaidi ya mtu na huhukumu vyema" Athari za ukweli huu labda huenda ni kwamba Mungu ni mwenye rehema zaidi ya dhamiri zetu ambavyo zingesema. Ubora huu wa Mungu umeelezewa kwa neno "mkuu." Mungu hujua zaidi ya tunavyojua.

Wapendwa

"Ninyi watu ninaowapenda" au "rafiki wapendwa." Tazama lilivyotafriwa katika 2:7

na tunafanya mambo yanayopendeza mbele zake.

Maoni ya Mungu yameongelewa kana kwamba yanategemea anayoona yakitokea mbele zake. "na hufanya linalompendeza yeye"