sw_tn/1jn/03/13.md

933 B

ndugu

"Waamini wenzangu."

Kama ulimwengu utawachukia

Hapa neno "ulimwengu" lina maana ya watu ambao hawamheshimu Mungu. "Kama hao wasiomheshimu Mungu watawachukia.

Tumetoka katika mauti kuingia uzimani.

"Hatuko tena wafu kiroho bali tu wazima kiroho."

Kudumu katika mauti.

"Ni kuendelea kufa kiroho."

Yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji.

Hii ni kumlinganisha mtu anaye mchukia muumini mwingine na muuaji. Kwa kuwa chuki ni chanzo cha mauaji, Mungu humuwazia mtu yeyote mwenye chuki kuwa mwenye hatia kama aliye muua mtu. "Yeyote anayemchukia muumini mwenzake ana hatia kama muuaji."

Uzima wa milele haukai ndani ya muuaji.

"Uzima wa milele" ni uhai ambao Mungu hutupatia waumini baada ya kufa, lakini pia ni nguvu ambayo Mungu huwapatia waumini katika uzima huu, kuwasaidia waache kufanya dhambi na wafanye yale yanayo mpendeza yeye. "Muuaji hana nguvu za uzima wa kiroho zinazofanya kazi ndani yake."