sw_tn/1jn/03/09.md

1.0 KiB

Yeyote aliyezaliwa na Mungu.

Hii inaweza kutafsiriwa kwa fungu la maneno lenye kitendo: "Yeyote ambaye Mungu amemfanya kuwa mwana wake."

Hafanyi dhambi.

"Hawezi kuendelea kutenda dhambi."

Mbegu ya Mungu.

Hii inalinganisha mbegu ya kawaida inayo pandwa katika udongo na hustawi kwa uwezo wa Roho Mtakatifu ambaye Mungu humweka ndani ya waumini, Roho huwapa nguvu za kupinga dhambi na kufanya kile kinachomfurahisha Mungu. Hii ingeweza kutafsiriwa kama hivi: "Roho Mtakatifu"

Amezaliwa na Mungu.

Hii inaweza kutafsiriwa kama fungu la maneno yenye kitendo: "Mungu amempa maisha mapya ya kiroho" au "Ni mtoto wa Mungu."

Kwa jinsi hii watoto wa Mungu na watoto wa shetani wanajulikana.

Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi yenye kuonesha tendo: "Hivi ndivyo tunavyowajua watoto wa Mungu na watoto wa shetani."

Yeyote asiye fanya mambo ya haki huyo si wa Mungu, wala ambaye hampendi ndugu yake.

Hapa "ndugu" humaanisha Wakristo wapendwa. Wale tu wanaofanya haki ndio wa Mungu, na wale tu ambao huwapenda ndugu zao."