sw_tn/1jn/02/15.md

1.2 KiB

Msiipende dunia

Neno "dunia" katika 2:15-17 humaaniha mabo yote watu hutaka kufanya , mambo ambayo hayamtukuzi Mungu. : "Msienende kama watu wa duniani wasiomheshimu Mungu"

wala mambo yaliyo katika dunia

"msitake mambo yale yale wanayoyataka wale wasiomheshimu Mungu"

Kama kuna yeyote ambaye huipenda dunia, upendo wa Baba haumo ndani yake.

Mtu hawezi kuipenda dunia hii pamoja na wale wote wasiomheshimu Mungu na kumpenda Baba wakati huo huo.

upendo wa Baba haumo ndani yake

"hawa hamendi Baba"

tamaa ya mwili, tamaa ya macho, na kiburi cha uzima-

Hii ni orodha ya baadhi ya mambo yaliyomo duniani. Nayo huelezea inamaana nini kusema "kila kilichomo dunianai"

tamaa ya mwili

"tamaa kali ya kuwa starehe ovu za kimwili"

tamaa ya macho,

"tamaa kali ya kuwa na vitu tuvionavyo"

kiburi cha uzima

"Kiburi cha uzima." hili laweza kuashiria pande zote mali na nia. "kujivunia alicho nacho mtu au anachotenda" au "kiburi ambacho watu husikia kwa sababu ya vitu vyao na kile mtu amefanya."

uzima

Hili lingeweza kumaanisha vitu walivyo navyo watu ili kuishi, vitu kama vile mali, utajiri pamoja na nia.

hayatokani na Baba

"hayatoki kwa Baba" au "sivyo hivyo Baba alivyotufundisha kuishi"

yapita

"yanapita" au "siku moja hayatakuwepo"