sw_tn/1jn/02/07.md

983 B

Sentensi Unganishi

Yohana anawapa waaminio kanuni za msingi za ushirika - utii na upendo

Wapendwa

"Ninyi watu niwapendao" au "Rafiki wapendwa"

siwaandikii ninyi amri mpya, bali amri ya zamani

"Ninaaandikia kupendana nyinyi kwa nyinyi, ambalo siyo jambo jipya kutenda bali ni amri ya zamani amabayo mmishaisikia." Yohana anamaanisha amri ya Yesu ya kupendana kila mtu na mwenzake

tangu mwanzo

Hapa, neno 'mwanzo" humaanisha wakati walipoamua kumfuata Kristo. "tangu mlipoanza kuamini katika Kristo"

Hata hivyo ninawaandikia ninyi amri mpya,

Lakini kwa namna nyingine amri ninayowaandikia ni mpya"

ambayo ni kweli katika Kristo na kwenu,

Hapa neno "Katika" humaanisha "kwa sababu ya." : "ambayo ni kweli kwa sababu ya alichotenda Kristo, na kwa sababu ya mnchotenda nyinyi"

giza linapita, na nuru ya kweli iko tayari inaangaza

"giza," hapa humaanisha uovu na "nuru" humaanisha wema. ; "kwa sababu mnaacha kutenda ovu na mna zidi kutenda jema zaidi na zaidi.