sw_tn/1jn/02/04.md

1.5 KiB

Yeye asemaye

"Yeyote anayesema" au "mtu anayesema"

Namjua Mungu,

"Nina uhusiano mwaema na Mungu

lakini hazishiki

"hatendi" au "hatii"

amri zake

"kile mabacho Mungu anamwambia kutenda"

kweli haimo ndani yake

Kweli imezungumziwa kana kwamba ni jambo lingeweza kuwa ndani ya waaminio. : " Haamini ambacho Mungu anasema kuwa ndiyo kweli"

ashikaye

"hutenda" au "hutii"

neno lake

"kile Mungu anachombia yeye kutenda"

upendo wa Mungu

Maana zinzowezekana kuwa ni 1) "upendo wetu kwa Mungu au 2) "upendo wa Mungu kwetu."

kweli katika mtu yule upendo wa Mungu umeshakamilishwa

Hili linaweza kutamkwa kwatika muundo tendaji. : "Mungu amekamilisha pendo wa Mungu ndani ya mtu huyo," "Kwa hakika, wale wanaotii amri za Mungu ni watu wanaommpenda Mungu katika njia zote," au "upendo wa Mungu kwa watu hutimiza lengo lake wanapotenda analowaambia kutenda"

Katika hili twajua kwamba tuko ndani yake

Kirai "tuko ndani yake" humaanisha mwamini ana muuu ngano na Mungu daima au ana ushirika na Mungu unaoendelea. Katika 1Yohana, kiari/kifungu "kaa ndani yake" mara kwa mara limetumika kumaanisha kitu kile kile. : "Tunapotii analotuambia Mungu, tunaweza kuwa na uhakika kwamba tuna ushirika na yeye"

tuko ndani yake

"tuna uhusiano na Mungu"

imempasa yeye mwenyewe pia kuenenda kama vile Yesu Kristo alivyoenenda.

Unayafanya maisha ya mtu kana kwamba yalikuwa yakitembea. : "ni lazima aishi kama Yesu Kristo alivyoishi' au "inampasa pia kumtii Mungu kama tu vile Yesu Kristo alivyotii"