sw_tn/1jn/01/03.md

639 B

Maelezo ya Jumla

Hapa maneno "tu...," "nasi" na "yetu" humaanisha Yohana na wale ambao wamekuwa pamoja na Yesu.

Lile ambalo tumeliona na kulisikia twalitangaza pia kwenu

Tunawaambieni pia nanyi tuliloliona na kulisikia"

muwe na ushirika pamoja nasi. Ushirika wetu ni pamoja na Baba

"muwe rafiki zetu wakaribu. Tu marafiki wa Mungu Baba"

Ushirika wetu

Hako wazi kama Yohana anawaingiza ama anawaacha wasomaji wake.

Baba...Mwana

Hivi ni vyeo muhimu vinavyoelezea uhusiano ulioko baina ya Mungu na Yesu.

ili kwamba furaha yetu iwe kamili.

"kuifanya furaha yetu ikamilike" au kutufanya sisi tufurahi kikamilifu kabisa"