Mwanadamu wa kwanza ni wa dunia, alitengenezwa kwa mavumbi
hapa inaelezea kuwa Mungu alimuumba mtu wa kwanza (Adamu) kutoka katika mavumbi ya ardhi
vumbi
" uchafu"
mtu wa mbinguni
Yesu Kristo
wale ambao ni wa mbinguni
"wale wanaomwamini Kristo"
tumebeba
"kubali kuchukua na kuakisi"