sw_tn/1co/15/47.md

302 B

Mwanadamu wa kwanza ni wa dunia, alitengenezwa kwa mavumbi

hapa inaelezea kuwa Mungu alimuumba mtu wa kwanza (Adamu) kutoka katika mavumbi ya ardhi

vumbi

" uchafu"

mtu wa mbinguni

Yesu Kristo

wale ambao ni wa mbinguni

"wale wanaomwamini Kristo"

tumebeba

"kubali kuchukua na kuakisi"