sw_tn/1co/15/10.md

771 B

kwa neema ya Mungu niko vile nilivyo

neema ya Mungu au wema wa Mungu umemfanya Paulo kuwa kama alivyo.

neema yake kwangu haikuwa bure

Paulo anasisistiza kwa maneno mazuri kwamba Mungu alifanya kazi kupitia kwa Paulo. Kwa maneno mengine ni kwamba " kwa sababu alikuwa mwema kwangu, niliweza kufanya kazi nzuri zaidi"

neema ya Mungu iliyo ndani yangu

Paulo anazungumza juu ya kazi aliyoweza kufanya kwa kuwa Mungu alikuwa mwema kwake, Paulo anasema ilikuwa ni neema iliyokuwa ikifanya kazi ndani yake. Hii inaweza kumaanisha: 1) huu ni ukweli halisi,kuwa Mungu alifanya kazi na kwa wema wake alimtumia Paulo kama chombo au 2) Paulo anatumia sitiari na anasema kuwa Mungu alikuwa mwema kumwezesha Paulo kufanya kazi na kuwezesha kazi za Paulo zifanikiwe vizuri.