forked from WA-Catalog/sw_tn
427 B
427 B
msimkateze mtu yeyote kunena kwa lugha
Paulo anaweka wazi kuwa kuongea kwa lugha kanisani inawezekana na inakubalika
Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu
Paulo anasisistiza kwamba makusanyiko ya kanisa( waumini) lazima yafanyike katika utaratibu mzuri. kwa maneno mengine " lakini fanyeni mambo yote kwa uzuri na katika utaratibu" au " lakini fanyeni kila kitu kwa utaratibu mzuri, kwa njia inayofaa"