sw_tn/1co/14/39.md

427 B

msimkateze mtu yeyote kunena kwa lugha

Paulo anaweka wazi kuwa kuongea kwa lugha kanisani inawezekana na inakubalika

Lakini mambo yote yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu

Paulo anasisistiza kwamba makusanyiko ya kanisa( waumini) lazima yafanyike katika utaratibu mzuri. kwa maneno mengine " lakini fanyeni mambo yote kwa uzuri na katika utaratibu" au " lakini fanyeni kila kitu kwa utaratibu mzuri, kwa njia inayofaa"