sw_tn/1co/13/04.md

343 B

Upendo huvumilia na hufadhili....huvumilia mambo yote

Paulo anazungumzia upendo kama kitu chenye nafsi hai.

hauoni uchungu haraka,

Hii inaweze kuelezewa katika muundo tendaji kama " hakuna mtu atakayeufanya upendo upate hasira kwa haraka"

Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli

"hufurahia katika uadilifu na kweli"