forked from WA-Catalog/sw_tn
343 B
343 B
Upendo huvumilia na hufadhili....huvumilia mambo yote
Paulo anazungumzia upendo kama kitu chenye nafsi hai.
hauoni uchungu haraka,
Hii inaweze kuelezewa katika muundo tendaji kama " hakuna mtu atakayeufanya upendo upate hasira kwa haraka"
Haufurahii udhalimu. Badala yake, hufurahi katika kweli
"hufurahia katika uadilifu na kweli"