sw_tn/1co/11/27.md

518 B

kula mkate na kuywa kikombe cha Bwana

" kula mkate wa Bwana au kunywa kikombe cha Bwana"

chunguza

Paulo aneleza uhusiano wa mtu na Mungu, jinsi mtu anavyoishi katika maisha yake kwamba anatakiwa ayaangalie maisha yake na kuyatathmini kama mtu ayetaza kitu anapotaka kukinunua.

bila kuupambanua mwili

Inaweza kumaanisha1) "na hatambui kuwa kanisa ni mwili wa Bwana" au 2) "na hafikiri kuwa anashiriki mwili wa Bwana."

wagonjwa na dhaifu

Maneno haya yanamaana zizokaribiana: kuwa nyonge, kuwa na madhara