sw_tn/1co/11/13.md

560 B

Hukumuni wenyewe

"Hukumuni suala hili kulingana na desturi za ndani na taratibu za kanisa mnazozijua"

Ni sahihi mwanamke amwombe Mungu hali kichwa chake kikiwa wazi?

Ikielezewa katika muundo tendaji:-"Kwa kumheshimu Mungu, mwanamke lazima amwombe Mungu akiwa amefunika kichwa chake."

Je hata asili peke yake haiwafundishi...kwake?

Paulo anatarajia Wakorintho wakubaliane naye kuwa " Hali ya asili huwafundisha" kwa maneno mengine " Mnajua hili kwa kutazama watu wanavyofanya kila mara"

amepewa zile nywele

" Mungu alimuumba mwanamke na nywele"