sw_tn/1co/11/11.md

459 B

Hata hivyo

" Pamoja na kwamba nilichosema ni kweli, swala la muhimu ni hili:"

katika Bwana

Hapa inaweza kumaanisha 1) "kati ya Wakristo, ambao ni wa Bwana" au "katika dunia kama ilivyoumbwa na Mungu."

mwanamke hayupo peke yake pasipo mwanamume, au mwanamume pasipo mwanamke.

Hii inaweza kuelezwa katika mtazamo chanya:- " mwanamke anamtegemea mwanaume, na mwanaume anamtegemea mwanamke"

vitu vyote hutoka kwa Mungu.

" Mungu aliumba kila kitu"