forked from WA-Catalog/sw_tn
732 B
732 B
Sentensi Unganisha
Baada ya Paulo kuwakumbusha Wakorintho kumfuata yeye kama navyomfuata Kristo, Paulo anatoa maagizo mahususi jinsi wanawake na wanaume wanavyopaswa kuishi kama waumini
mnavyonikumbuka
"fikiri juu ya" au " kumbuka"
nataka
inaweza kumaanisha 1) "Kwa sababu ya hili, ninataka" au 2) "Hata hivyo, ninataka."
ni kichwa cha
anamamlaka juu ya
naye mwanaume ni kichwa cha mwanamke
inaweza kumaanisha 1) " wanaume wanamamlaka kwa wanawake" au 2) mume anapaswa kuwa na mamlaka kwa mke"
akiwa amefunika kichwa
" anapofunika au kuweke kitambaa kwenye kichwa chake"
anakiabisha kichwa chake
inaweza kumaanisha 1) " hujitia aibu mwenyewe" au 2) huleta aibu kwa Krito, ambaye ni kichwa cha mwanaume."