sw_tn/1co/08/11.md

397 B

ufahamu wako

Paulo anatumia neno "wako" kuongea na Wakorintho wote

aliye dhaifu... anaangamizwa

Kaka au dada asiyekuwa imara katika imani yake atatenda dhambi au kupoteza imani yake.

Kwa hiyo

"kwa sababu nilichoeleza ni kweli"

ikiwa chakula kinasababisha

" chakula" ni picha ya mtu anayekula hicho chakula " kwa kula kwangu kama nitasababisha" au " Ikiwa ninakula na kusababisha"