sw_tn/1co/08/08.md

679 B

chakula hakitatuthibitisha sisi kwa Mungu

"chakula hakitupi sisi kibali kwa Mungu" au "chakula tunacho kula hakimfanyi Mungu kupendezwa nasi"

Sisi sio wabaya sana kama tusipokula, au wema sana kama tukila

"Baadhi ya watu wanaweza kufikiria kuwa kama hatuli baadhi ya vitu, Mungu atatupenda kidogo. Lakini hawako sahihi. Wale wanao fikiri kuwa Mungu atatupenda zaidi ikiwa tunakula vitu hivyo pia hawako sahihi."

mtu ambaye ni dhaifu

waumini wasio imara katika imani zao

mtu amekuona, wewe uliye

Paulo anaongea kwa Wakorintho kama anaongea na mtu mmoja

Dhamiri yake

mawazo yanayomfanya mtu ajue kati ya jambo zuri na baya.

haitathibitika

" tiwa moyo kula "