sw_tn/1co/08/07.md

561 B

Maelezo ya Jumla

Paulo anazungumza kuhusu ndugu walio "dhaifu" watu ambao hawawezi kutofautisha kati ya vyakula vilivyotolewa kwa miungu na ibada ya sanamu. Kama mkristo anakula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu, ndugu walio dhaifu wanaweza kufikiri kwamba Mungu amewaruhusu kuabudu miungu kwa kula vyakula vilivyotolewa sadaka kwa miungu hao. Hata kama mlaji hakuabudu miungu bali amekula chakula tu, ataharibu dhamiri ya ndugu yake.

kila mmoja... baadhi

"watu wote...baadhi ya watu miongoni mwa wakristo"

kupotoshwa

"kuharibiwa" au "dhuriwa"