sw_tn/1co/07/25.md

321 B

Sasa kuhusu wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana

Paulo anajua si mafundisho ya Yesu yale anazungumza kuhusu hali hii."Sina amri kutoka kwa Bwanakuhusu watu ambao hawajoa kamwe."

nawapa maoni

Ninawaambia ninachofikiri.

Kwa hiyo

" Basi hayo ni mawazo yangu"

usumbufu

"Mahangaiko yanayokuja"