sw_tn/1co/06/19.md

535 B

Hamjui...

Nataka niwakumbushe...

Mwili wako

Mwili wa kila Mkristo binafsi ni hekalu la Roho Mtakatifu

Hekalula roho Mtakatifu

Hekalu limewekwa wakfu kwa kusudi maalum, na pia ni mahali anapoishi. Katika njia moja, kila mwili wa muumini wa wakorintho ni kama hekalu, kwa sababu Roho Mtakatifu yupo pamoja nao.

Ninyi mlinunuliwa kwa thamani

Mungu amelipa kwa uhuru wa Wakorintho kutoka katika utumwa wa dhambi. "Mungu alilipa kwa uhuru wenu."

Kwa hiyo

"Hivyo" au "Kwa kuwa hii ni kweli" au "kwa sababu ya ukweli huu."