sw_tn/1co/06/09.md

682 B

Hamjui kwamba

Paulo anaelezea kwamba wanapaswa tayari kuwa wanaujua ukweli huu. "Tayari umejua vile"

Wasio haki hawatarithi

"wenye haki tu watarithi"

kurithi ufalmewa Mungu

Mungu hatawahukumu kama wenye haki katika hukumu, na hawataingia katika uzima wa milele.

Wafiraji

Hawa ni malaya ambao ni wanaume hulala na wanaume wengine.

Wale wanaofanya uzinzi

Wanaume ambao hulala na wanumewengine(Walawiti)

wenye tamaa

watu walio tayari kutumia njia mbaya kujipatia mali

wadhalimu

"matapeli"

mlisafishwa

Mungu amewasafisha

mliwekwa wakfu kwa Mungu

Mungu amewatenga kwa ajili yake.

Mmefanywa haki pamoja na Mungu

Mungu amewafanya haki pamoja na yeye