sw_tn/1co/06/04.md

1.7 KiB

Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya, kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka mbele ya wasiosimama kanisani?

Inaweza kumaanisha 1) hili ni swali lisilohitaji jibu au 2) hii ni sentensi " Mliwahi kusuruhisha migogoro inayohusu maswala ya muhimu maishani, hamkuruhusu matatizo ya Wakristo yasuruhishwe na wasioamini" au 3) Hii ni amri "mnaposuruhisha juu ya maswala muhimu ya maisha, pia suruhisheni migogoro ambayo ipo kanisani " "Kama umeitwa kufanya maamuzi kuhusu maisha ya kila siku." au "Kama una ulazima wa kuweka sawa mambo ambayo ni muhimu katika maisha haya."

Kama tunaweza kuhukumu mambo ya maisha haya

" kama mmeitwa kufanya maamuzi kwa maisha ya kila siku" au " kama mtasuruhisha maswala ya muhimu katika maisha haya"

kwa nini mnathubutu kupeleka mashitaka

" msipeleke mashitaka hayo"

mbele ya wasiosimama kanisani?

Maana zinazokubalika 1) " acheni kupeleka mashitaka hayo kwa watu walio nje ya kanisa" au 2) " mngeweza kupeleka mashitaka hayo hata kwa waumini wasioamika kwa waumini wenzao"

kwa aibu yenu

" kwa kukosa heshima" au "kwa kuonyesha kuwa mmeshindwa katika swala hili"

Hakuna mwenye busara miongoni mwenu wa kutosha kuweka mambo sawa kati ya ndugu na ndugu?

" mnapaswa kuona aibu kwamba hamuwezi kupata muumini wenye hekima kumaliza mibishano miongoni mwa waumini"

ndugu

hapa inamaanisha waumini wote

mashitaka

" mabishano" au " kushindwa kukubaliana"

Lakini kama ilivyo

" namna ilivyo sasa" au " lakini badala "

mwamini mmoja huenda mahakamani dhidi ya muumini mwingine, na mashitaka hayo huwekwa mbele ya hakimu asiyeamini!

" waumini wenye mgogoro wanaomba usuruhishi kwa mahakimu wasioamini kufanya maamuzi juu yao"

mashitaka hayo huwekwa

" muumini anapeleka mashitaka"