sw_tn/1co/03/12.md

1.1 KiB

Maelezo ya Jumla

Paulo anazungumzia shughuli ambazo wajenzi hufanya wanapojenga jengo akifananisha na kile wanachofanya walimu wa Korintho. Wjenzi mara nyingi hutumia dhahabu, fedha, au mawe ya thamani kama mapambo ya majengo.

Sasa kamayeyote anajengajuu ya msingi kwa dhahabu,fedha, mawe ya thamani, miti,manyasi, au majani

Vitu vya ujenzi yamelinganishwa na thamani ya kiroho yatumikayo kwa kujenga tabia ya mtu na shughuli wakati wa maisha yake. "Hata mtu anajenga kwa thamani, vitu vya kudumu au vya chini,vitu vya kung'aa."

Mawe ya thamani

"Mawe ya gharama kubwa"

Kaziyake itafunuliwa

" Mungu ataweka wazi kila kazi aliyoifanya mjenzi."

kwa mwanga wa mchana utaidhihirisha

Neno "mwanga" ni sitiari kumaanisha wakati Mungu atakapomuhukumu kila mtu. Mungu atakapo weka wazi mafundisho ya walimu hawa, itakuwa kama nuru ya jua juu ya giza la usiku.

Kwa kuwa itadhihirishwa na moto. Moto utajaribu ubora wa kazi wa kila mmoja alichofanya.

Kama moto utadhihirisha uimara au kuharibu udhaifu wa jengo,Moto wa Mungu utahukumu juhudi ya mtu na shughuli. "moto utaonyesha thamani ya kazi yake."