forked from WA-Catalog/sw_tn
675 B
675 B
Anayepandana anayemwagilia ni sawa
Upandaji na umwagiliaji maji inahesabika ni kazi moja,ambayo Paulo analinganisha yeye mwenyewe na Apolo katika kuwahudumia kanisa la Wakorintho.
Ujira
Kiasi cha fedha ambacho mfanyakazi analipwa, kinalinganishwa kwa kiasi gani alichofanya kazi.
Sisi
Hii inaonyesha kwa Paulo na Apololakini si kanisa la Korintho
Wafanyakazi ya Mungu
Paulo anajitambulisha yeye na Apolo kuwa ni watendakazi pamoja.
bustani ya Mungu
Mungu anawajali waumini wa Korintho, Kama vile mtu ahudumiaye bustani yake ili kuzalisha matunda.
Jengo la Mungu
Mungu amewafanyia usanifuna kuwaumba waumini wa Korintho,kama vile mtu anayejenga jengo.