sw_tn/1co/03/08.md

675 B

Anayepandana anayemwagilia ni sawa

Upandaji na umwagiliaji maji inahesabika ni kazi moja,ambayo Paulo analinganisha yeye mwenyewe na Apolo katika kuwahudumia kanisa la Wakorintho.

Ujira

Kiasi cha fedha ambacho mfanyakazi analipwa, kinalinganishwa kwa kiasi gani alichofanya kazi.

Sisi

Hii inaonyesha kwa Paulo na Apololakini si kanisa la Korintho

Wafanyakazi ya Mungu

Paulo anajitambulisha yeye na Apolo kuwa ni watendakazi pamoja.

bustani ya Mungu

Mungu anawajali waumini wa Korintho, Kama vile mtu ahudumiaye bustani yake ili kuzalisha matunda.

Jengo la Mungu

Mungu amewafanyia usanifuna kuwaumba waumini wa Korintho,kama vile mtu anayejenga jengo.